Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta akiwa na tuzo yake ya Mwasoka Bora wa Afrika katika Ligi ya Ubelgiji baada ya kukabidhiwa jana kufuatia sare ya 0-0 na Standard Liege kwenye mchezo wa mwisho wa msimu Uwanja wa Luminus Arena
Mbwana Samatta akipongezwa jana Uwanja wa Luminus Arena baada ya kupewa tuzo zake
Mbwana Samatta akishangilia Kombe la ubingwa wa Ubelgiji baada ya kukabidhiwa jana Uwanja wa Luminus Arena
Mbwana Samatta akishangilia Kombe la ubingwa wa Ubelgiji baada ya kukabidhiwa jana Uwanja wa Luminus Arena
Mbwana Samatta akishangilia na wachezaji wenzake wa KRC Genk baada ya kukabidhiwa Kombe la ubingwa wa Ubelgiji
Mbwana Samatta akipiga picha na rafiki yake Uwanja wa Luminus Arena
Bruno Fernandes gets emotional after a reporter praises his dedication to
Man United... as his tireless performance against Liverpool leads the Red
Devils to a triumphant 4-3 win in the FA Cup
-
Fernandes got visibly emotional when praised by a reporter for his
dedication to Man United after their dramatic 4-3 FA Cup quarter-final win
over Liverpool .
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment