MAREHEMU Ali Ferej Tamin (Kushoto) na aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo Ali Juma Shamuhuna, walipotembelea Makao Makuu ya Shirikisho la Soka la Dunia (FIFA) jijini Zurich, Uswisi miaka kadhaa iliyopita wakiwa na Rais wa zamani wa shirikisho hilo Josep Blatter. Walikuwa wamepeleka ombi la kutaka Zanzibar ipewe uanachama wa FIFA ambalo lilikataliwa kwa madai kuwa visiwa hivyo havina mamlaka kamili.
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment