RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN ALIVYOSHIRIKI MAZISHI YA TAMIM
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa .Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka mchanga katika kaburi la Mareheme Ali Ferej, aliyekuwa Mwenyekiti wa ZFA yaliofanyika katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar leo 19-5-2019,(Picha na Ikulu)
Dk. Ali Mohamed Shein, akiitikia dua ikisomwa na Katibu wa Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga alipofi kutowa mkono wa pole na kuifariji familia ya Marehemu Ramadhan Abdalla Shaban , kijiji kwa Uzini Wilaya ya Kati Unguja leo
Dk. Ali Mohamed Shein, akijumuika na Wananchi na Wanamichezo katika maziko ya Marehemu Ali Ferej Tamim , aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mpira Zanzibar(ZFA) yaliofanyika katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar
Dk. Ali Mohamed Shein, akiwafariji na kutoa mkono wa Pole kwa Familia ya Marehemu Ramadhan Abdalla Shaban, alipofika nyumbani kwa Kijiji cha Uzini Wilaya ya Kati Unguja leo 19-5-2019
Dk. Ali Mohamed Shein, akitoa mkono wa Pole kwa Watoto wa Mareheme Ali Ferej Tamim, baada ya kumalizika maziko hayo yaliofanyika katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar
Morocco calls up Brahim Diaz after making decision
-
Real Madrid playmaker Brahim Diaz has made his decision to play for
Morocco, amid criticism for the Spanish Football Federation (RFEF). The
24-year-old, ...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment