Wachezaji wa Aston Villa wakishangilia baada ya kuifunga 2-1 Derby County usiku wa jana Uwanja wa Wembley katika mechi ya fainali ya mchujo wa kupanda wa Ligi Kuu England. Mabao ya Villa inayorejea Ligi Kuu tangu ishuke mwaka 2016 yamefungwa na Anwar El Ghazi na John McGinn huku la Derby County likifungwa na Jack Marriott PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment