Victor Lindelof, Ander Herrera, Alexis Sanchez na Marcus Rashford wakimpongeza Romelu Lukaku (kulia) baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 64 akigusa mpira kwa mara ya kwanza, dakika moja tu baada ya kuingia kuchukua nafasi ya Anthony Martial katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Newcastle United Uwanja wa St. James' Park. Bao la pili la Man United limefungwa na Rashford dakika ya 80 akimalizia pasi ya Alexis Sanchez na kwa ushindi huo wa nne mfululizo chini ya kocha mpya, wa muda, Ole Gunnar Solskjaer Mashetani Wekundu wanafikisha pointi 38 baada ya kucheza mechi 21, ingawa wanabaki nafasi ya sita nyuma ya Arsenal yenye pointi 41 za mechi 21 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sheffield Wednesday boss HENRIK PEDERSEN: How he motivates a squad that
wasn't being paid and has only eight fit senior players, his chats with
Dejphon Chansiri and why there's 'light at the end of the tunnel'
-
For the manager with the toughest gig in football, there are some
blessings. One of them is the proximity of Sheffield to the Peak District -
nothing swall...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment