Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester City dakika ya 10 akimalizia pasi ya Leroy Sane na 39 kwa penalti ikiilaza Wolverhampton Wanderers 3-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Etihad. Bao lingine la Manchester City limefungwa na Conor Coady aliyejifunga dakika ya 78 katika harakati za kuokoa krosi ya Kevin De Bruyne na kwa ushindi huo wanapunguza pengo la pointi wanazozidiwa na Liverpool hadi kubaki nne (57-53) baada ya timu zote kucheza mechi 22 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment