Kocha Hans van der Pluijm akimpa maelekezo mshambuliaji Mliberia wa Yanga SC, Kpah Sherman wakati wa mazoezi ya timu hiyo jana Uwanja wa sekondari ya Loyola, Mabibo, Dar es Salaam. Pluijm ameanza rasmi kazi jana baada ya kurejeshwa kuchukua nafasi ya Mbrazil, Marcio Maximo aliyefukuzwa mwanzoni mwa wiki.
Hapa Mholanzi huyo anazungumza na kiungo Mbrazil, Andrey Coutinho
Hapa anazungumza na kocha Msaidizi, Salvatory Edward
Redknapp runner among King George contenders
-
Fact To File, Gaelic Warrior and Harry Redknapp's The Jukebox Man head the
confirmations for the King George VI Chase at Kempton on Boxing Day.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment