• HABARI MPYA

    Sunday, December 28, 2014

    SIJUI JAMAA ALIRUDI VIPI NYUMBANI NA KITAMBI CHAKE!

    Shabiki wa Yanga SC (kushoto) akichaniwa jezi yake baada ya kupita katika jukwaa la mashabiki wa Azam FC leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, uliomalizika kwa sare ya 2-2.
    Jamaa akifurahia kuchana jezi ya shabiki wa Yanga

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIJUI JAMAA ALIRUDI VIPI NYUMBANI NA KITAMBI CHAKE! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top