• HABARI MPYA

    Monday, December 29, 2014

    YANGA SC NA AZAM FC KATIKA PICHA JANA TAIFA

    Mshambuliaji wa Yanga SC, Kpah Sherman kushoto akiwania mpira dhidi ya beki wa Azam FC, Shomary Kapombe katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka 2-2.
    Beki wa Yanga SC, Edward Charles akijaribu kuupitia mpira miguuni mwa winga wa Azam FC, Brian Majwega
    Winga wa Yanga SC, Simon Msuva akimiliki mpira mbele ya beki wa Azam FC, Shomary Kapombe
    Beki wa Yanga SC, Mbuyu Twite akimiliki mpira mbele ya beki wa Azam FC, Shomary Kapombe
    Mshambuliaji wa Azam FC Didier Kavumbangu akiifungia timu yake bao la kwanza jana katika sare ya 2-2 na Yanga SC. Aliyekaa chini ni beki wa Yanga SC Mbuyu Twite na wengine kushoto ni kipa Deo Munishi 'Dida' na beki Juma Abdul
    Mshambuliaji wa Yanga SC, Amisi Tambwe akimiliki mpira mbele ya beki wa Azam FC, Erasto Nyoni
    Kipa wa Yanga SC, Deo Munishi 'Dida' akiwa ameenda hewani kuokoa m,pira wa juu dhidi ya Didier Kavumbangu wa Azam FC
    Kiungo wa Azam FC, Mudathir Yahya akipasua katikati ya wacheaji wa Yanga SC
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC NA AZAM FC KATIKA PICHA JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top