• HABARI MPYA

    Monday, June 03, 2013

    MOURINHO AANGUKA MIAKA MINNE CHELSEA

    IMEWEKWA JUNI 3, 2013 SAA 10:00 JIONI
    KOCHA Jose Mourinho leo amekutana na viongozi wa Chelsea kukamilisha mpango wa kurejea kwake Stamford Bridge. 
    Taarifa rasmi inatarajiwa kutolewa baadaye leo kuthibitisha kusaini kwake Mkataba wa miaka minne hii ikiwa ni mara ya pili kwa Mourinho kufanya kazi klabu hiyo ya London, kiasi cha saa kadhaa tu tangu aache kazi Real Madrid. 
    Mwalimu huyo mwenye umri wa miaka 50 tayari imethibitika ataanza kazi Chelsea wiki hii.
    Back in England: Jose Mourinho is back in London ahead of his expected return to Chelsea
    Amerudi England: Jose Mourinho amerejea London tayari kuanza kazi Chelsea
    Snapped: Mourinho was spotted at Heathrow Airport on Sunday as he closed in on his return to Chelsea
    Mourinho alipigwa picha akiwasili Uwanja wa Ndege wa Heathrow jana
    Jose Mourinho
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MOURINHO AANGUKA MIAKA MINNE CHELSEA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top