• HABARI MPYA

    Thursday, June 27, 2013

    VAN PERSIE NA CRISTIANO RONALDO VS MESSI NA NEYMAR...DUNIA ITATIKISIKA 'WALLAH'

    IMEWEKWA JUNI 27, 2012 SAA 12:07 JIONI
    FIKIRIA kuwachezesha Cristiano Ronaldo na Robin van Persie kwenye safu ya ushambuliaji ya timu yako dhidi ya timu ambayo Neymar na Lionel Messi wanaongoza mashambulizi yake?
    Unapozungumzia fantasy football (Soka la ndoto)…. hili ndiyo kiboko yao.
    Kampuni ya Fans All Star Football (FAS) inawapa nafasi mashabiki wa soka duniani kote kuchagua kikosi chao cha wakipendacho kutoka kwa wachezaji bora Ulaya na duniani kwa ujumla.
    Baada ya upigaji kura kumalizika mashabiki wa soka watapata nafasi ya kushiriki shindano la kupambana na timu iliyochaguliwa na wataalamu wa soka na kushindani kiasi cha pauni milioni 50,000.
    Superstar: Real Madrid's Portuguese forward Cristiano Ronaldo is one of the players available listed for Europe
    Supa Staa: Mshambualiaji wa Real Madrid, Mreno Cristiano Ronaldo yupo kwenye orodha ya nyota wa Ulaya
    Fantasy pick: Cristiano Ronaldo shows off his buff body while on holiday in Miami and (inset) cartoon character Johnny Bravo
    Cristiano Ronaldo akionyesha mwili wake uliojengeka akiwa Miami (picha ndogo) katuni Johnny Bravo 

    Kuepusha zoezi hilo kuwa gumu, mfumo unatumika ni 4-4-2.  Fikiria Ronaldo, Gareth Bale, Andrea Pirlo na David Beckham kwenye timu moja? Van Persie atatengenezewa nafasi kibao. Hiyo inaweza kuwatisha mabeki lakini ni bonge la burudani kwa mashabiki.
    Tofauti na kura za Fans All Star Global, wale watakaoshiriki watapata nafasi ya kuonyesha uwezo wao kwenye soka kwa kupambana na magwiji kwenye Shindano la FAS.
    Mashabiki watapata nafasi ya kushinda kiasi cha pauni 50,000 kama wakifanikiwa kutengeneza kikosi kama kile ambacho kitatengenezwa na wataalamu wa Fans All Star ambao ni Kocha wa zamani wa England, Glenn Hoddle na Muargentina Bingwa wa Kombe la Dunia, Ossie Ardiles. 
    Robin van Persie
    Gareth Bale
    Viwango vya dunia: Robin van Persie na Gareth Bale ni miongoni mwa nyota wa Ligi Kuu England
    Duo: Barcelona talisman Lionel Messi and his new team-mate Neymar lead the Rest of the World talent
    Wawili: Mkali wa mabao wa Barcelona, Lionel Messi na mchezaji mwenzake mpya, Neymar wanaongoza vipaji vingine duniani
    Neymar
    Prize: Fans All Star allows users to pick their teams and take on a team of experts for the chance to win £50k
    Zawadi: Watumiaji wa Fans All Star wanaruhusiwa kuchagua timu na kupambana na timu ya wataalamu kuwania pauni 50,000
    Star studded: FAS lets football fanatics to pick their Europe and Rest of the World teams
    Chagua timu yako ya FAS 

    Fans All Star logo
    Ilikufanikiwa katika hili mashabiki watatakiwa kununua ‘bundles’ za Kura na kuingiza vikosi vya ziada.
    Washiriki wa Fans All Star wataweza kuchagua kikosi cha wachezaji 15 cha kikosi cha Ulaya na kile cha kikosi cha Ulimwengu mzima (Wachezaji 11 wa kuanza na wanne wa benchi) wachezaji hao watakuwa kati ya wachezaji bora 1100, 550 watakuwa wa Ulaya na 550 wengine watakuwa wa Ulimwengu wote.
    Jumatatu ijayo idadi ya kwanza ya wachezaji 1100 itapunguzwa kufiki 660 kutokana na kura za mashabiki, idadi hii itapunguzwa tena Alhamisi ya Agosti 1 na kubaki 110, upigaji kura utafika tamati Agosti 31 mwaka huu.
    Kikosi cha kwanza cha wataalamu wa Fans All Star kitatangazwa Jumanne ya Septemba 1 mwaka huu.
    Kuchagua timu yako Ulaya na Ile ya Dunia unatakiwa kuingia kwenye mtandao wa www.fansallstar.com
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: VAN PERSIE NA CRISTIANO RONALDO VS MESSI NA NEYMAR...DUNIA ITATIKISIKA 'WALLAH' Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top