• HABARI MPYA

    Thursday, June 20, 2013

    MABINTI WA KITANGA KATIKA MTOKO WA 'DINNER'...WATU WACHA MATE YAMWAGIKEEE!

    IMEWEKWA JUNI 20, 2013 SAA 7:00 USIKU
     Washiriki wa Miss Tanga wakiwa katika chakula cha usiku katika ukumbi wa Pub Hai, maeneo ya Saba saba Tanga usiku walipoalikwa na uongozi wa Pub hiyo. Shindano la Miss Tanga linatarajiwa kufanyika Jumamosi wiki hii kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

    Chakula kitamu

    Sala kwanza; Mrembo akisali kabla ya kuanza kula

    Kupakuliwa tani yako

    Yaani ile ushindwe mwenyewe

    Mapochopocho

    Waandaaji na bosi wa Pub Pub wakiteta

    Mkurugenzi wa DATK Entertainment, waandaaji wa Miss Tanga 2013, Asha Kigundula akigonga cheers na mumewe  

    Warembo Cheers

    Jamani totozx za Miss Tanga si mnaoooonaaaaa

    Mrembo akimiminiwa mvinyo na bosi wa Pub Hai

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: MABINTI WA KITANGA KATIKA MTOKO WA 'DINNER'...WATU WACHA MATE YAMWAGIKEEE! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top