• HABARI MPYA

    Friday, June 21, 2013

    NIGERIA YAPIGWA KOMBE LA MABARA, NI KAMA IMEKWISHATOLEWA TU

    IMEWEKWA JUNI 21, 2013 SAA 12:00 ASUBUHI
    MSHAMBULIAJI Diego Forlan usiku wa kuamkia leo amesherehekea mechi yake ya 100 Uruguay kwa kufunga bao la ushindi timu yake ikishinda 2-1 dhidi ya Nigeria kwenye Kombe la Mabara mjini Salvador.
    Forlan alifunga mwanzoni mwa kipindi cha pili baada ya John Obi Mikel kuisawazishia Nigeria dakika ya 37 kufuatia Uruguay kufunga bao la kuongoza dakika ya 19 kupitia kwa Diego Lugano.
    Snatched: Forlan bagged the winner for Uruguay in their second group game
    Forlan akishangilia na mwenzake
    Ahead: Uruguay's Diego Lugano is congratulated after scoring the opening goal
    Diego Lugano akipongezwa na wenzake
    Uruguay
    Matokeo hayo yanafanya timu mbili katika Kundi hilo, B zilingane kwa pointi, tatu kila moja baada ya kucheza mechi mbili, lakini ikiwa imebakiza mechi na Tahiti, Uruguay iko katika nafasi kubwa ya kusonga mbele pamoja na Hispania, yenye pointi sita na itacheza na Nigeria katika mechi ya mwisho ya kundi hilo.

    KUNDI B KOMBE LA MABARA

    TimuMechiKushindaSareKufungwaMabao ya KufungwaMabao ya kufungwaPointi
    Hispania22001216
    Nigeria2101733
    Uruguay2101333
    Tahiti20021160
    Level: Nigeria's John Obi Mikel (right) celebrates after scoring the equaliserscoring
    John Obi Mikel (kulia) akishangilia baada ya kufungaStuck in: Martin Caceres of Uruguay challenges Ahmed Musa
    Martin Caceres wa Uruguay akimdhibiti Ahmed Musa
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: NIGERIA YAPIGWA KOMBE LA MABARA, NI KAMA IMEKWISHATOLEWA TU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top