![]() |
IMEWEKWA JUNI 3, 2013 SAA 9:30 ALASIRI
Mshambuliaji wa Simba SC, Edward Christopher akifanya mazoezi asubuhi ya leo kwenye Uwanja wa Kinesi, Urafiki Dar es Salaam.
|
![]() |
| Edo akikokota mpira mazoezini |
![]() |
| Kiungo Rashid Ismail akikokota mpira |
![]() |
| Adeyoum Saleh Ahmed akikokota mpira |
![]() |
| Ramadhani Singano 'Messi' |
![]() |
| Hassan Hatibu akikokota mpira |










.png)