Mshambuliaji Mohamed Salah akiifungia Liverpool bao la pili dakika ya 19 baada ya Grant Hanley kujifunga dakika ya saba katika harakati za kuokoa krosi ya Divock Origi kuwapatia Wekundu hao bao la kuongoza katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Norwich City kwenye mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Anfield. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Virgil van Dijk dakika ya 28 na Origi dakika ya 42, wakati la Norwich City iliyorejea Ligi Kuu msimu huu lilifungwa na Teemu Pukki dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League reveal latest TV fixtures with new dates for Liverpool's
clash with Man City and Arsenal vs Chelsea - as Man United are handed
ANOTHER Monday night
-
The Premier League have confirmed the next run of fixtures set to be
televised at the start of 2026, with changes planned for high-profile
clashes featurin...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment