Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya 12 akimalizia krosi ya winga Gareth Bale katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Celta Vigo kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Abanca-Balaidos mjini Vigo. Mabao mengine ya Real Madrid yamefungwa na Toni Kroos dakika ya 61 na Lucas Vazquez dakika ya 80, wakati la kufutia machozi la Celta Vigo limefungwa na Iker Losada dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Arsenal and Wales star Aaron Ramsey reveals Mexican club terminated
HIS contract after mysterious disappearance of his beloved pet dog
-
The former Arsenal and Juventus midfielder, now 34, swapped the
Championship for Liga MX last summer in a move which was met by much
fanfare in the Latin c...
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment