Gabriel Jesus akimlalamikia refa Michael Oliver baada ya kukataa bao lake la dakika ya mwisho, Manchester City ikilazimishwa sare ya 2-2 na Tottenham Hotspur katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Oliver alikataa bao hilo baada ya kutazama marudio ya picha za video (VAR) katika mchezo huo ambao mabao ya Man City yalifungwa na Raheem Sterling dakika ya 20 na Sergio Aguero dakika ya 35 na ya Spurs yalifungwa na Erik Lamela dakika ya 23 na Lucas Moura dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Justice secretary faces no confidence vote in grooming gangs row
-
Opposition parties have accused Angela Constance of misrepresenting the
position of a leading expert on grooming gangs.
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment