Anthony Yarde akiwa chini baada ya kuangushwa na Sergey Kovalev raundi ya 11 katika pambano la ubingwa wa dunia usiku wa jana ukumbi wa Traktor Sport Palace, Chelyabinsk nchini Urusi. Kovalev alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya 11 na kufanikiwa kutetea taji lake la WBO uzito wa Light Heavy PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man Utd angry as Morocco rejected Mazraoui request
-
Manchester United are angry with the Moroccan FA for rejecting their plea
for Noussair Mazraoui to play in Monday's draw with Bournemouth.
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment