Chipukizi wa England, Mason Mount akiifungia Chelsea bao la kuongoza dakika ya saba baada ya kiungo mwenzake, Mnigeria Wilfred Ndidi wa Leicester City kuanguka timu hizo zikitoka sare ya 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao la kusawazisha la Leicester City limefungwa na Ndidi dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cardiff in 'good space' to retain top players after Wales stars exit Ospreys
-
Cardiff and Scarlets are hopeful of retaining their top players after Wales
captains Jac Morgan and Dewi Lake opted to swap Ospreys for Gloucester.
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment