Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akiwasabahi wachezaji wa Yanga SC alipowatembelea mazoezini mjini Gaborone, Botswana. Simai ambaye pia ni Mwakilishi wa jimbo la Tunguu, Zanzibar upo Botswana kwa ziara ya kikazi wakati Yanga kesho itamenyana na wenyeji, Township Rollers katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Cardiff in 'good space' to retain top players after Wales stars exit Ospreys
-
Cardiff and Scarlets are hopeful of retaining their top players after Wales
captains Jac Morgan and Dewi Lake opted to swap Ospreys for Gloucester.
13 minutes ago




.png)
0 comments:
Post a Comment