Mshambuliaji Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa St Mary's. Bao la pili la Liverpool limefungwa na Roberto Firmino dakika ya 71 kabla ya Danny Ings kuifungia Southampton bao la kufutia machozi dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New York Knicks win NBA Cup after stunning fourth-quarter comeback as
Jordan Clarkson helps spoil Victor Wembanyama's dream of a first title
-
NBAsuperstar Victor Wembanyama was closing in on his first trophy with the
San Antonio Spurs until the Knicks' late comeback turned the game on its
head.
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment