Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo mabao mawili dakika za 18 kwa penalti na 67 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester. Mabao mengine ya United inayofundishwa na kocha Ole Gunnar Solskjaer yalifungwa na Anthony Martial dakika ya 65 na Daniel James dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Arsenal and Wales star Aaron Ramsey reveals Mexican club terminated
HIS contract after mysterious disappearance of his beloved pet dog
-
The former Arsenal and Juventus midfielder, now 34, swapped the
Championship for Liga MX last summer in a move which was met by much
fanfare in the Latin c...
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment