Mkwaju wa penalti uliopigwa na Paul Pogba ukienda juu baada ya kuokolewa na kipa Rui Patricio dakika ya 68 Manchester United ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Wolverhampton Wanderers katika mchezo wa Ligi Kuu ya England, Uwanja wa Molineux, West Midlands. Penalti hiyo ilitolewa baada ya yeye mwenyewe, Pogba kuangushwa na Conor Coady kwenye boksi katika mchezo ambao Man United walitangulia kwa bao la A. Martial dakika ya 27 kabla ya Ruben Neves kuisawazishia Wolves dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lando Norris squirms on stage as his American McLaren boss makes 'domestic
violence joke' about his wife and reels off a string of expletives in
off-the-rails post-season party speech
-
F1 fans have been left shocked after McLaren boss Zak Brown went on an
unhinged rant in his end of season speech
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment