Mshambuliaji mkongwe, Aritz Aduriz akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Athletic Bilbao dakika ya 89 kufuatia kutokea benchi dakika ya 88 kuchukua nafasi ya Williams na kuiwezesha timu yake kuichapa 1-0 Barcelona katika mchezo wa ufunguzi wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa San Mames Barria mjini Bilbao PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Arsenal and Wales star Aaron Ramsey reveals Mexican club terminated
HIS contract after mysterious disappearance of his beloved pet dog
-
The former Arsenal and Juventus midfielder, now 34, swapped the
Championship for Liga MX last summer in a move which was met by much
fanfare in the Latin c...
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment