• HABARI MPYA

    Sunday, December 06, 2020

    SIMON MSUVA AJIUNGA NA WYDAD CASABLANCA YA MOROCCO KWA MKATABA WA MIAKA MINNE


    KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva mwenye umri wa miaka 27 amekabidhiwa jezi namba 11 baada ya kusaini mkataba wa miaka minne kujiunga Wydad Athletic Club ya Casablanca, kufuatia miaka minne ya kuchezea Difaa Hassan El-Jadidi, zote za Morocco aliyoijiunga nayo mwaka 2017 akitokea Yanga SC ya nyumbani, Dar es Salaam

    WASIFU WAKE
    JINA KAMILISimon Happygod Msuva
    KUZALIWAOktobs 2, 1993 (Miaka 27)
    ALIPOZALIWADar es SalaamTanzania
    UREFU1.70 m (Futi 5 inchi 7)
    NAFASI ANAYOCHEZAWinga /Mshambuliaji wa pili
    KLABU YAKE
    KLABU YA SASA
    Wydada Athletic 
    JEZI NAMBA11
    KLABU ZA AWALI HADI SASA
    MwakaTimuMechi(Mabao)
    2010-2011Azam35(11)
    2011-2012Moro United37(15)
    2012–2017Yanga SC94(43)
    2017–2020Difaâ El Jadida90(43)
    2020-Wydad Casablanca0(0)
    TIMU YA TAIFA
    Tangu 2012:TanzaniaMechi 61(Mabao 13)
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMON MSUVA AJIUNGA NA WYDAD CASABLANCA YA MOROCCO KWA MKATABA WA MIAKA MINNE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top