MABINGWA watetezi, Liverpool FC usiku wa jana wamepanda kileleni mwa Ligi Kuu baada ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Tottenham Hotspur FC Uwanja wa Anfield.
Mohamed Salah aliifungia bao la kwanza Liverpool dakika ya 26 na Roberto Firmino akafunga la ushindi dakika ya 90 baada ya Son Heung-Min kuisawazishia Spurs dakika ya 33.
Sasa Liverpool ina pointi 28, tatu zaidi ya Tottenham Hotspur baada ya wote kucheza mechi 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment