• HABARI MPYA

    Thursday, December 24, 2020

    YANGA SC YAPITA BILA JASHO RAUNDI YA TATU ASFC BAADA YA SINGIDA UNITED KUSHUSHWA MADARAJA




    ADHABU ya Singida United inamaanisha kwamba, vigogo wenzao, Yanga SC wapita bila jashio Raundi ya Tatu ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC). 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA SC YAPITA BILA JASHO RAUNDI YA TATU ASFC BAADA YA SINGIDA UNITED KUSHUSHWA MADARAJA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top