• HABARI MPYA

    Saturday, December 19, 2020

    SIMBA SC WALIVYOFANYA MAZOEZI LEO HARARE KUJIANDAA NA MCHEZO DHIDI YA PLATINUMS JUMATANO

    Kiungo nyota wa Simba SC, Mzambia Clatous Chama akifanya mazoezi na beki Mkenya, Joash Onyango leo mjini Harare, Zimbabwe kujiandaa na mchezo wa kwanza wa Hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa dhidi ya wenyeji, FC Platinums Jumatano ya wiki ijayo. 

    Kiungo mpya, Mganda Thadeo Lwanga akifanya mazoezi leo kuelekea mchezo na wenyeji, FC Platinums Jumatano  ijayo

    Mshambuliaji Mkongo, Chris Mugalu akifanya mazoezi mjini Harare kujiandaa na mchezo wa kwanza wa Hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa dhidi ya wenyeji, FC Platinums Jumatano ya wiki ijayo. 

    Mshambuliaji Mnyarwanda, Meddie Kagere akifanya mazoezi leo kuelekea mchezo na wenyeji, FC Platinums Jumatano  ijayo
    Nyota wazawa, beki Mohammed Hussein 'Tshabalala' na kiungo Hassan Dilunga wakifanya mazoezi leo kuelekea mchezo na wenyeji, FC Platinums Jumatano  ijayo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC WALIVYOFANYA MAZOEZI LEO HARARE KUJIANDAA NA MCHEZO DHIDI YA PLATINUMS JUMATANO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top