• HABARI MPYA

    Thursday, December 17, 2020

    RONALDO AKOSA PENALTI JUVENTUS YALAZIMISHWA SARE 1-1 SERIE A

    NAYE Cristiano Ronaldo akakosa penalti kipindi cha pili Juventus wakilazimishwa sare ya 1-1 na Atalanta katika Serie A siku ambayo Federico Chiesa alianza kuwafungia Juve dakika ya 29, kabla ya Remo Freuler kuisawazishia Atalanta dakika ya 12 ya kipindi cha pili 


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AKOSA PENALTI JUVENTUS YALAZIMISHWA SARE 1-1 SERIE A Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top