• HABARI MPYA

    Friday, December 25, 2020

    SIMBA SC WAPANGWA NA MTIBWA, CHIPUKIZI KUNDI B, YANGA NA NAMUNGO NA JAMHURI KOMBE LA MAPINDUZI 2021

    MABINGWA wa Tanzania Bara, Simba SC ya Dar es Salaam wamepangwa Kundi B katika Kombe la Mapinduzi pamoja na mabingwa watetezi, Mtibwa Sugar ya Morogoro na Chipukizi FC ya Pemba.
    Vigogo Yanga SC ya Dar es Salaam pia wamepangwa Kundi A pamoja na Namungo FC ya Lindi na Jamhuri FC ya Pemba pia.
    Kundi C linazikutanisha Azam FC ya Dar es Salaam na vigogo wa visiwani, Malindi FC na  Mlandege FC  ambao ndio mabingwa wa Zanzibar. 
    Michuano hiyo itaanza Januari 5, mwakani Yanga SC ikimenyana na Jamhuri usiku baada ya Mtibwa Sugar kucheza na Chipukizi jioni.


    RATIBA KAMILI KOMBE LA MAPINDUZI
    Januari 5, 2021
    Yanga SC v Jamhuri
    Mtibwa Sugar v Chipukizi
    Januari 6, 2021
    Malindi FC v Mlandege
    Januari 7, 2021
    Simba SC v Chipukizi
    Januari 8, 2021
    Azam FC v Mlandege FC
    Yanga SC v Namungo FC
    Januari 9, 2021
    Jamhuri FC v Namungo FC
    Simba SC v Mtibwa sugar
    Januari 10, 2021
    Azam FC v Malindi FC
    ORODHA YA MABINGWA KOMBE LA MAPINDUZI
    Mwaka    Bingwa Mshindi wa Pili
    2007 Yanga SC Mtibwa Sugar 
    2008 Simba SC Mtibwa Sugar
    2009 Miembeni        KMKM
    2010 Mtibwa Sugar         Ocean View
    2011 Simba SC  Yanga SC
    2012 Azam FC          Simba SC
    2013 Azam FC    Tusker FC
    2014 KCCA        Simba SC
    2015 Simba SC Mtibwa Sugar
    2016 URA Mtibwa Sugar
    2017 Azam FC Simba SC
    2018 Azam FC URA FC
    2019 Azam FC Simba SC 2-1 
    2020 Mtibwa Sugar         Simba SC 1-0
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC WAPANGWA NA MTIBWA, CHIPUKIZI KUNDI B, YANGA NA NAMUNGO NA JAMHURI KOMBE LA MAPINDUZI 2021 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top