MABAO ya Karim Benzema, Luka Modric na Lucas Vazquez yameipa ushindi wa 3-1 Real Madrid dhidi ya Eibar ambayo bao lake lilifungwa na Kike kwenye mchezo wa LaLiga usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya Ipurúa,
Kwa ushindi huo katika mchezo wa 14 wa msimu, kikosi cha Zinedine Zidane kinafikisha pointi 29 sawa na vinara, Atletico Madrid ambao lakini wana mechi mbili mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment