MABAO ya Ferran Torres dakika ya 48, Sergio Aguero dakika ya 77 na Alvaro Gonzalez aliyejifunga dakika ya 90 yaliipa ushindi wa 3-0 Manchester City dhidi ya Marseille kwenye mchezo wa Kundi C jana Uwanja wa Etihad.
Kwa ushindi huo, Man City imemaliza na pointi 16 na kuongoza kundi hilo kwa pointi tatu zaidi ya Porto FC na zote zinakwenda 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
0 comments:
Post a Comment