• HABARI MPYA

    Thursday, December 10, 2020

    AGUERO AREJEA NA BAO MAN CITY YAICHAPA MARSEILLE 3-0


    MABAO ya Ferran Torres dakika ya 48, Sergio Aguero dakika ya 77 na Alvaro Gonzalez aliyejifunga dakika ya 90 yaliipa ushindi wa 3-0 Manchester City dhidi ya Marseille kwenye mchezo wa Kundi C jana Uwanja wa Etihad. 
    Kwa ushindi huo, Man City imemaliza na pointi 16 na kuongoza kundi hilo kwa pointi tatu zaidi ya Porto FC na zote zinakwenda 16 Bora 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AGUERO AREJEA NA BAO MAN CITY YAICHAPA MARSEILLE 3-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top