TIMU ya Azam FC leo imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Mbeya Kwanza katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Na ni Azam FC waliolazimika kusawazisha kwa penalti kupitia kwa kiungo wao Mzimbabwe, Never Tigere dakika ya 35 kwa penalti baada ya William Edgar kuanza kuwafungia Mbeya Kwanza dakika ya 19
I want to come back to Premier League and win it this time - Pochettino
-
Former Spurs boss Mauricio Pochettino sits down with Kelly Somers to talk
about growing up on a farm, barbecues and his future.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment