TIMU ya Azam FC leo imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Mbeya Kwanza katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Na ni Azam FC waliolazimika kusawazisha kwa penalti kupitia kwa kiungo wao Mzimbabwe, Never Tigere dakika ya 35 kwa penalti baada ya William Edgar kuanza kuwafungia Mbeya Kwanza dakika ya 19
JC Latham NFL Draft 2024: Scouting Report for Tennessee Titans OT
-
HEIGHT: 6'6" WEIGHT: 342 HAND: 11" ARM: 35⅛" WINGSPAN: 84⅜" 40-YARD DASH:
N/A 3-CONE: N/A SHUTTLE: N/A VERTICAL: N/A BROAD: N/A POSITIVES — Broad
frame wit...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment