Wachezaji wa Simba SC wakienda Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Boli Addis Ababa, Ethiopia tayari kuunganisha ndege kwenda Abuja, Nigeria kwa ajili ya mchezo wa kwanza wa hatua ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya wenyeji, Plateau United Ijumaa kufuatia safari iliyoanza jana Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA)
Teenager Guler scores as Real Madrid close on title
-
Arda Guler scores on his first La Liga start as Real Madrid close in on the
title with victory at Real Sociedad.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment