Wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania wakati wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam jana kutoka Tunisia ambako Ijumaa walifungwa 1-0 na wenyeji wao hao katika mchezo wa Kundi J kuwania tiketi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) Uwanja wa Uwanja wa Hamadi Agrebi Olimpiki mjini Rades. Timu hizo zitarudiana kesho Saa 4:00 Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam
2024 NFL Draft: Ideal Landing Spots for Top Edge, DL and LB Prospects
-
If you think about it, the NFL draft is a lot like a dating show. Prospects
put together tape that teams/producers watch and a select few are brought
in to…
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment