Mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube Mpumelelo, akiwa safarini kuelekea nchini Afrika Kusini jana alfajiri, kufanyiwa matibabu ya mkono wake wa kushoto alioumia kwenye mechi ya Ligi Kuu yaTanzania Bara dhidi ya Yanga Novemba 25. Mzimbabwe huyo atafanyiwa matibabu katika hospitali ya Vincent Pallotti Jijini Cape Town, ambako wachezaji wote wa Azam FC wamekuwa wakitibiwa hapo kwa ufanisi mkubwa.
Frank Lampard: Chelsea sack manager with Thomas Tuchel expected to replace him
-
Chelsea sack manager Frank Lampard after 18 months in charge, with former
Paris St-Germain and Borussia Dortmund boss Thomas Tuchel expected to
replace him.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment