• HABARI MPYA

    Sunday, November 22, 2020

    TOTTENHAM HOTSPUR YAIFUMUA MANCHESTER CITY 2-0 LONDON


    Giovani Lo Celso na Son Heung-min wakishangilia baada ya wote kuifungia Tottenham Hotspur katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Tottenham Hotspur Jijini London. Son Heung-min alifunga la kwanza dakika ya tano na Giovani Lo Celso la pili dakika ya 65 na kwa ushindi huo, Tottenham Hotspur inafikisha pointi 20 na kupanda kileleni ikiwazidi pointi mbili Chelsea baada ya wote kucheza mechi tisa
     

      

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TOTTENHAM HOTSPUR YAIFUMUA MANCHESTER CITY 2-0 LONDON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top