• HABARI MPYA

    Saturday, November 28, 2020

    MAHREZ APIGA HAT TRICK MAN CITY YAICHAPA BURNLEY 5-0 ETIHAD


    Nyota wa Algeria, Riyad Mahrez akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu Manchester City dakika za sita 22 na 69 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad, mabao mengine yakifungwa na Benjamin Mendy dakika ya 41 na Ferran Torres dakika ya 66
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAHREZ APIGA HAT TRICK MAN CITY YAICHAPA BURNLEY 5-0 ETIHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top