Nahodha wa Uholanzi, Georginio Wijnaldum akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao la ushindi dakika ya 84 ikiwalaza wenyeji, Poland kwenye mchezo wa Kundi la Kwanza Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana huko Chorzow. Kamil Jozwiak alianza kuifungia Poland dakika ya tano, kabla ya Memphis Depay kuisawazishia Uholanzi kwa penalti dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Complete 2024 NBA Playoff Bracket Predictions and Key Player Matchups
-
With the 2023-24 NBA regular season and play-in tournament complete, the
real fireworks can begin. The 2024 playoffs offer a collection of both
young teams…
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment