Nahodha wa Uholanzi, Georginio Wijnaldum akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao la ushindi dakika ya 84 ikiwalaza wenyeji, Poland kwenye mchezo wa Kundi la Kwanza Ligi ya Mataifa ya Ulaya usiku wa jana huko Chorzow. Kamil Jozwiak alianza kuifungia Poland dakika ya tano, kabla ya Memphis Depay kuisawazishia Uholanzi kwa penalti dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers: Ex-chairman Dave King insists ousting Mike Ashley was key moment in club's journey to title
-
Victory over St Mirren came on the sixth anniversary of the EGM in which
King and his colleagues forced boardroom change at Ibrox, ousting a Mike
Ashley-in...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment