• HABARI MPYA

    Wednesday, November 25, 2020

    BRUNO FERNANDES APIGA MBILI MAN UNITED YAUA 4-1 ULAYA


    Wachezaji wa Manchester United wakipongezana kwa ushindi wa 4-1 dhidi ya Istanbul Basaksehir kwenye mchezi wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Mabao ya Manchester United yalifungwa na Bruno Fernandes mawili, dakika ya saba Marcus Rashford kwa penalti dakika ya 35 na Daniel James dakika ya 90 na ushei, wakati bao pekee la Istanbul Basaksehir Deniz Turuc dakika ya 75
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BRUNO FERNANDES APIGA MBILI MAN UNITED YAUA 4-1 ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top