Washambuliaji Raheem Sterling na Sergio Aguero wakimpongeza beki na Nahodha wao, Vincent Kompany baada ya kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 70 ikiilaza 1-0 Leicester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Etihad. Kwa ushindi huo, Man City inafikisha pointi 95 baada ya kucheza mechi 37 na kurejea tena kileleni mwa Ligi Kuu ikiizidi pointi moja Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Giants, Vikings' Trade Offers for Patriots' No. 3 Draft Pick
Revealed
-
The New England Patriots reportedly received lofty offers from the
Minnesota Vikings and New York Giants for their No. 3 pick in the NFL
draft. Per Sports…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment