Mbunge wa jimbo la Songea Mjini, Dk. Emmanuel John Nchini (kulia), akimkabidhi basi kwa ajili ya klabu ya Majimaji ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Makamu Mwenyekiti wa klabu hiyo, John John Nchimbi (kushoto) leo asubuhi. Dk Nchimbi amemshukuru rafiki yake, Paul Hinks kwa kufanikisha kupatikana kwa gari hilo. Tayari Nchimbo ambaye amekuwa Mbunge wa Songea Mjini tangu mwaka 2010 amesema hatagombea tena katika jimbo hilo.
Pressure mounts on Bodejo to drop out of Senate race
-
Pressure mounts on Abdullahi Bello Bodejo to quit the Taraba Central
senatorial race after his arrest, detention and alleged pressure to
withdraw.
The p...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment