Mbunge wa jimbo la Songea Mjini, Dk. Emmanuel John Nchini (kulia), akimkabidhi basi kwa ajili ya klabu ya Majimaji ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Makamu Mwenyekiti wa klabu hiyo, John John Nchimbi (kushoto) leo asubuhi. Dk Nchimbi amemshukuru rafiki yake, Paul Hinks kwa kufanikisha kupatikana kwa gari hilo. Tayari Nchimbo ambaye amekuwa Mbunge wa Songea Mjini tangu mwaka 2010 amesema hatagombea tena katika jimbo hilo.
New York Knicks win first title since 1973 as stunning fourth-quarter
comeback seals NBA Cup glory against Victor Wembanyama's Spurs
-
NBA superstar Victor Wembanyama was closing in on his first trophy with the
San Antonio Spurs until the Knicks' late comeback turned the game on its
head, ...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment