![]() |
| Jean Baptiste Mugiraneza wa APR |
Timu hiyo ya jeshi imetwaa taji lao la rekodi la 15 katika miaka 22 tangu waanze kucheza Ligi ya Rwanda mwaka 1993 kufuatia sare ya 1-1 na AS Kigali viwanja vya FERWAFA jana jioni.
Nahodha wa APR, Ismael Nshutiyamagara ameelezea furaha yake juu ya mafanikio hayom akisema; “Tulistahili taji la ubingwa kwa sababu tulijituma sana msimu huu. Haya ni malipo ya kazi ngumu.”



.png)
0 comments:
Post a Comment