• HABARI MPYA

    Saturday, May 23, 2015

    XAVI HERNANDEZ AAGWA BARCELONA IKITOA 2-2 NA DEPORTIVO LA CORUNA



    Lionel Messi receives a celebratory hug from departing Barcelona team-mate Xavi after opening the scoring in the fifth minute 
    Lionel Messi akikumbatiana na mchezaji mwenzake wa Barcelona, Xavi Hernandez baada ya kufunga bao la kwanza katika sare ya 2-2 na Deportivo la Coruna katika mchezo wa La Liga wa kumuaga Xavi, anayehamia Al Sadd ya Qatar baada ya miaka 17 ya kufanya kazi Camp Nou tangu 1998. Xavi Hernandez atacheza mechi moja ya mwishi Nou Camp, fainali ya Copa del Rey Mei 30, lakini leo mashabiki 90,000 walimuaga. Mabao ya Barcelona yalifungwa na Lionel Messi, wakati ya Deportivo yamefungwa na Lucas Perez na Diogo Salomao. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: XAVI HERNANDEZ AAGWA BARCELONA IKITOA 2-2 NA DEPORTIVO LA CORUNA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top