Nahodha wa Chelsea, John Terry akiinua Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya England leo baada ya mchezo dhidi ya Sunderland Uwanja wa Stamford Bridge leo ambao walishinda 3-1. Mabao ya Chelsea iliyojihakikishia ubingwa huo mapema mwezi huu yalifungwa na Lioc Remy mawili na Diego Costa moja kwa penalti baada ya John O'Shea kumchezea rafu Juan Cuadrado wakati bao la kufutia machozi la Sunderland lilifungwa na Steven Fletcher PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Captain fantastic Bruno Fernandes is Man United's own superhero... the new
era at Old Trafford must be built around their Portuguese superstar, writes
NATHAN SALT
-
NATHAN SALT: Man United have their very own superhero in captain Bruno
Fernandes and INEOS must ensure the team of the future is built around him
starting ...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment