• HABARI MPYA

    Wednesday, May 20, 2015

    DE GEA, MATA WATAMBA TUZO ZA MAN UNITED

    David de Gea (centre) arrives at the Manchester United end-of-season awards dressed in a smart black suit alongside team-mate Juan Mata

    David de Gea (katikat) akiwasili katika tuzo za kufungia nsimu za Manchester United pamoja na mchezaji mwenzake, Juan Mata PICHA ZAIDI GONGA HAPA

    TUZO ZA MANCHESTER UNITED NA WASHINDI WAKE 

    Mchezaji Bora wa Mwaka wa U18: Axel Tuanzebe
    Mchezaji Bora wa Mwakja wa U21: Andreas Pereira
    Mchezaji Bora wa Msimu: David de Gea
    Bao Bora la Msimu: Juan Mata v Liverpool
    Mchezaji Bora wa Mwaka: David de Gea 
    KIPA David de Gea anayetajwa kutaka kuhamia Real Madrid ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Manchester United usiku wa jana.
    Na baada ya kupewa tuzo hiyo, kipa huyo wa zamani wa Atletico Madrid, ambaye Mkataba wake unamalizika mwakani, alisema: "Nataka kusema asanteni kwa wachezaji wenzangu, wamekuwa babu kubwa msimu huu na ninafikiri tuna chumba kizuri cha kubadilishia nguo. Nawapenda,".
    Mchezaji mwenzake wa kimataifa wa Hispania, De Gea- Juan Mata ameshinda tuzo ya Bao Bora la Msimu alilofunga katika mechi dhidi ya Liverpool.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DE GEA, MATA WATAMBA TUZO ZA MAN UNITED Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top