• HABARI MPYA

    Thursday, April 02, 2015

    LIONEL MESSI FITI KUREJEA UWANJANI JUMAPILI

    MSHAMBULIAJI wa Barcelona, Lionel Messi amepona maumivu ya goti na yuko tayari kucheza Jumapili mechi ya La Liga dhidi ya Celta Vigo.
    Nyota huyo wa Argentina alikuwa nje katika mechi zote za kirafiki za kimataifa, dhidi ya El Salvador na Ecuador, lakini baada ya kurejea Barcelona Alhamisi, alikuwa tayari kufanya mazoezi mepesi kama kukimbia na kunyoosha viungo.
    Messi anatarajiwa kuwa fiti kama ambayo taarifa katika tovuti ya klabu yake imesema: "Hali ya goti la Messi imeimarika na mchezaji huyo anatarajiwa kuungana na wenzake waliorejea kutoka kwenye mechi za kimaataifa kesho.'
    Lionel Messi waves to fans during a light training session at Barcelona on Thursday 
    Lionel Messi akiwapungia mkono mashabiki wakati wa mazoezi mjini Barcelona Alhamisi 
    Messi had a light training session alongside compatriot Javier Mascherano as he recovers from foot injury
    Messi alifanya mazoezi mepesi pamoja na Muargentina mwenzake Javier Mascherano baada ya kupona goti

    PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-3023268/Lionel-Messi-recover-foot-injury-make-Barcelona-s-La-Liga-clash-Celta-Vigo.html#ixzz3WBDyhs40 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIONEL MESSI FITI KUREJEA UWANJANI JUMAPILI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top