• HABARI MPYA

    Thursday, April 30, 2015

    HASIRA ZA RONALDO ANAPOSHINDWA KUFUNGA MABAO...

    Cristiano Ronaldo slams the ball back into the net after Alvaro Arbeloa had scored for Real Madrid
    Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akipiga mpira kwa hasira nyavuni baada ya Alvaro Arbeloa kuifungia timu hiyo bao katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Almeria katika la Liga. Ronaldo hakufunga bao katika mechi hiyo jambo ambalo hakulifurahia.

    PICHA ZAIDI NENDA: 

    http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-3061570/Cristiano-Ronaldo-smashes-ball-shakes-head-Alvaro-Arbeloa-scores-Real-Madrid-World-Player-Year-sulking-didn-t-score.html#ixzz3YnJX1hsi 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HASIRA ZA RONALDO ANAPOSHINDWA KUFUNGA MABAO... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top