• HABARI MPYA

    Wednesday, April 29, 2015

    MAYWEATHER AENDA KUKAGUA UKUMBI WA PAMBANO MGM

    Floyd Mayweather arrives at the MGM Grand with the CEO of Mayweather Promotions Leonard Ellerbe

    Bondia Floyd Mayweather akiwasili ukumbi wa MGM Grand na Mtendaji Mkuu wa Mayweather Promotions, Leonard Ellerbe. Bondia huyo atakayepanda ulingoni Jumamosi wiki hii kupigana na Manny Pacquiao katika pambano la kumaliza ubishi, alilakiwa na maelfu ya mashabiki ambao walimshangilia mno. Huo ndiyo ukumbi ambao pambano la litafanyika.
    Floyd Mayweather arrives at MGM Grand Garden Arena
    Floyd Mayweather arrives at MGM Grand Garden Arena
    Mayweather akiwa na mashabiki (kushoto) jukwaani na kulia wakati alipozuru MGM 

    PICHA ZAIDI NENDA: 

    http://www.dailymail.co.uk/sport/boxing/article-3059953/Floyd-Mayweather-makes-official-arrival-ahead-Manny-Pacquiao-mega-fight.html#ixzz3Yfe64KSE 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAYWEATHER AENDA KUKAGUA UKUMBI WA PAMBANO MGM Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top