Mshambuliaji wa Manchester City, Sergio Aguero akishangilia baada ya kufunga bao lake la 20 katika Ligi Kuu ya England msimu huu katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Aston Villa Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya City yalifungwa na Aleksandar Kolarov na Fernandinho, wakati wa Villa yalifungwa na Tom Cleverley na Carlos Sanchez. Matokeo hayo yanaipandisha timu ya Manuel Pellegrini juu ya Manchester United na Arsenal nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu.
Michael Penix Jr. Disappointed with 4.46-Second 40-Yard Dash: 'Should've
Been a 4.4'
-
Former Washington quarterback Michael Penix Jr. wasn't impressed with his
40-yard dash time of 4.46 seconds at the school's pro day on Thursday.
"Should've…
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment